Soko la Kimalel sasa ni la kuuza kuku
Published on: November 11, 2017 08:19 (EAT)
Je umewahi kushuhudia kuku wakipigwa mnada? Katika Kaunti ya Baringo mambo ni kama hayo. Na kama anavyotuarifu Andrine Kilemi ni kwamba wakaazi sasa wanatumia mnada wa Kimalel ambao ni maarufu kwa kuuzia mbuzi kufanya biashara hiyo.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment