Sonko akosa kupata cheti cha nidhamu kutoka CID

Seneta wa Nairobi Mike Sonko huenda asiweze kugombania kiti cha ugavana wa nairobi kwenye uchaguzi mkuu ujao kutokana na kukosa kupata baadhi ya stakabadhi muhimu zinazohitajika kwa uteuzi. Swaleh mdoe anatuarifu zaidi

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories