Suala la kuhamia Jubilee lazidia kuzua cheche
Published on: September 27, 2016 11:24 (EAT)
Vuta nikuvute kati ya chama cha ODM na wabunge wake waliohamia chama kipya cha Jubilee unatarajiwa kuendelea hata baada ya kukamilika kwa makataa ya siku saba iliyotolewa na uongozi wa juu wa chama hicho ambapo wabunge hao walitakiwa kuelezea sababu za wao kuhama na kwanini wasiadhibiwe kisheria.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment