Taharuki ingali imetanda mpakani Pokot-Marakwet

Serikali itawachukulia hatua kali wezi wa mifugo ambao wanavuruga amani katika maeneo mbali mbali hapa nchini. Naibu rais Willam Ruto alitoa kauli hiyo akiwaonya wahalifu wa maeneo ya mpaka wa pokot na marakwet waliosababisha maafa walipowavamia wanakijiji.

Tags:

Markwet

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories