Taharuki yatanda Endebes kufuatia mzozo wa lishe ya mifugo
Published on: January 10, 2018 08:01 (EAT)
Hali ya taharuki imetanda katika eneo bunge la Endebes baada ya mzozo wa lishe ya mifugo kusababisha mauaji ya mtoto wa miaka tisa na nyumba zaidi ya 6 kuteketezwa. Habari hizi na nynginezo kwenye mseto wa kaunti naye Laura Otieno
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment