Tamko la Kenya baada ya kushindwa na Chad

Kenya sasa inalaumu lugha za kigeni barani Afrika ambazo zinadaiwa kuchangia Waziri wa Mambo ya Nje Balozi Amina Mohammed kushindwa kwenye kinyang’anyiro cha kuwania uwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika hapo jana nchini Ethiopia. na huku hisia mseto zikiibuka baada ya kenya kupoteza nafasi hiyo amina amezungumiza suala hilo na kudhihirisha kutoridhika kwake.

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories