TANZIA TANZANIA: Watoto zaidi ya 25 na walimu kadhaa wafariki
Published on: May 06, 2017 09:36 (EAT)
Zaidi ya watu 31 miongoni mwao wanafunzi 27 na walimu wamefariki nchini Tanzania kwenye ajali ya barabarani iliyohusisha basi la shule karibu na mto wa mlera wilaya ya Meatu huko Arusha.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment