Tom Cholmondley Aaga Dunia

Tom Cholmondely mwana wa Mkoloni Lord Delamere alifahamika kwa visa viwili vya mauaji ameaga dunia katika hospitali moja hapa Nairobi. Cholmondeley ambaye aliwahi kufungwa gerezani kwa zaidi ya miaka tatu amefariki akiwa na umri wa 48.

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories