Trump amuonyesha kivumbi dakika za mwisho

Donald john trump amechaguliwa kuwa rais wa 45 w amarekani baada ya kumbwaga mgombea wa democratic party hillary clinton kwa kupata kura 289 za wajumbe dhidi ya kura 218 za Clinton. Rais mteule trump amewataka wamarekani kuzika tofauti zao za kisiasa na kudumisha umoja huku akiahidi kuwarais wa waliomchagua na waliombagua. Clinton amekubali kushindwa.

Tags:

Trump

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories