Tume ya IEBC yapanga kikao cha faragha Naivasha
Published on: September 09, 2017 08:41 (EAT)
Makamishna wa tume ya IEBC hapo kesho wanatarajiwa kuanza kikao cha faragha huko Naivasha kujadiliana jinsi ya kutatua tofauti ambazo wamekumbana nazo mapema wiki hii pamoja na mikakati ya kuandaa uchaguzi wa urasi.
Kamati iliyoteuliwa na mwenyekiti Wafula Chebukati imeanza kazi yake na kujukumiwa kurekebisha makosa yaliyoshuhudiwa katika uchaguzi wa Agosti 8.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment