Tume ya IEBC yapanga mikakati ya uchaguzi wa urais
Published on: September 02, 2017 08:35 (EAT)
Tume ya IEBC imeanza mikakati ya kuandaa uchaguzi mwingine wa Urais kufuatia maamuzi ya mahakama ya juu hapo jana. Hata hivyo ingali kubainika ni wagombea wangapi watashiriki uchaguzi huo huku uamuzi wa mahakama ya juu mwaka ya 2013 ukiashiria huenda Rais Uhuru Kenyatta akamenyana na Raila Odinga pekee. Wengine wakisema lazima wagombea wote wanane wa hapo awali washiriki.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment