Tume ya IEBC yapanga mikakati ya uchaguzi wa urais

Tume ya IEBC imeanza mikakati ya kuandaa uchaguzi mwingine wa Urais kufuatia maamuzi ya mahakama ya juu hapo jana. Hata hivyo ingali kubainika ni wagombea wangapi watashiriki uchaguzi huo huku uamuzi wa mahakama ya juu mwaka ya 2013 ukiashiria huenda Rais Uhuru Kenyatta akamenyana na Raila Odinga pekee. Wengine wakisema lazima wagombea wote wanane wa hapo awali washiriki.

Tags:

IEBC Chief Justice David Maraga fresh election

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories