Tume ya IEBC yawahakikishia Wakenya tena kuwa iko tayari

Tuko tayari kuandaa uchaguzi mkuu ulio huru na wa haki mwezi ujao. Hili ndilo hakikisho la tume ya uchaguzi nchini(IEBC), huku zikisalia siku 10 wakenya waelekee kwenye debe. IEBC imeleezea kwa kina utaratibu wa kuwatambua wapiga kura na uwasilishaji matokeo, huku ikiondoa tashwishi kuhusu uwezekano wa wafu kupiga kura.

Tags:

IEBC Wafula Chebukati uchaguzi

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories