Tume ya SRC yakata mishahara ,wengi wataathirika ikiwemo Rais
Rais
Mshahara wa sasa – 1,650,000
Mshahara mpya – 1,443,750
Naibu Rais
Mshahara wa sasa – 1,402,500
Mshahara mpya – 1,227,188
Mawaziri, Mkuu wa Jeshi na Mwanasheria Mkuu
Mshahara wa sasa – 1,056,000
Mshahara mpya – 924,000
Spika wa Bunge na Seneti
Mshahara wa sasa – 1,320,000
Mshahara mpya – 1,155,000
Naibu Spika wa Bunge na Seneti
Mshahara wa sasa – 1,056,000
Mshahara mpya – 924,000
Kiongozi wa Wengi na Wachache Bungeni
Mshahara wa sasa – 1,020,670
Mshahara mpya – 765,188
Wabunge na Maseneta
Mshahara wa sasa – 710,000
Mshahara mpya – 621,250
Gavana
Mshahara wa sasa – 1,056,000
Mshahara mpya – 924,000
Wajumbe
Mshahara wa sasa – 165,000
Mshahara mpya – 144,375
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment