Uasin Gishu yashuhudia ongezeko kubwa ya watu
Published on: October 01, 2017 09:12 (EAT)
Idadi ya watu inaongezeka kwa kasi mno katika kauntio ya Uasin Gishu. Je, ni sababu zipi zinazochangia hali hiyo? John Wanyama aliwahoji wataalamu wa matibabu pamoja na afisa wa idara ya kuhifadhi takwimu za idadi ya watu na kuandaa makala ifuatayo.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment