Ubabe Wa Kisiasa: Chama cha Jubilee chafanya mkutano Mathare
Published on: September 18, 2016 09:06 (EAT)
Viongozi wa chama cha jubilee katika kaunti ya Nairobi nao wameandaa mkutano sambamba katika eneo la Mlango Kubwa eneo bunge la Mathare wakijipiga kifua kuwa chama hicho kitaibuka na ushindi sio tu kwa kiti cha urais lakini pia ugavana wa Nairobi.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment