Ubadhirifu kwenye kaunti
Published on: November 22, 2016 09:45 (EAT)
Mkaguzi mkuu wa mahesabu Edward Ouko ametoa ripoti inayoonyesha jinsi mamilioni ya pesa yalivyopotezwa katika kaunti mbalimbali humu nchini, ripoti ambayo haikupokelewa vyema na baraza la magavana humu nchini walipozitetea kaunti zao dhidi ya kupotezwa kwa mamilioni ya pesa kupitia mfumo wa fedha wa ifmis wakisema kuwa mfumo huo ulikua umelazimishwa kutumika katika kaunti hizo na wala hawakua wamekubaliana nazo kamwe
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment