Uchu wa uzazi
Published on: February 27, 2017 09:32 (EAT)
Mtazamaji hebu chukua dakika ufikirie haya, Mama ana uchungu wa kujifungua na hospitali ya karibu iko kadri kilomita 48 kwa barabara na umbali wa masaa sita kwa usafiri wa bahari. Ndio changamoto wanazopitia kina mama kila siku katika vijiji vya lamu. Hata hivyo huenda hali ikabadilika sasa kwani kama anavyotuelezea mwanahabari saida swaleh aliyezuru eneo hilo binti mmoja amejikakamua kuona kwamba huduma za afya sasa zinafika maeneo ambayo zilikuwa nadra.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment