Uchunguzi kuhusu stempu ghushi waanzishwa dhidi ya maafisa wa KRA
Published on: September 14, 2016 09:22 (EAT)
Siku mbili baada ya Citizen Nipashe kuangzia oparesheni iliyopelekea kukamatwa kwa wafanyibiashara wa stempu ghushi za halmashauri ya ukusanyaji wa ushuru KRA, uchunguzi dhidi ya maafisa katika halmashauri hiyo umeanzishwa huku washukiwa wakuu waliokamatwa siku hiyo wakitarajiwa kufikishwa mahakamani hapo Alhamisi.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment