Uchunguzi waanzishwa dhidi ya Raila kuhusu madai ya uchochezi

Taasisi tatu za serikali zimeanzisha uchunguzi dhidi ya kinara wa upinzani Raila Odinga, kutokana na matamshi aliyotoa siku ya Alhamisi katika eneo la Kajiado, kuhusiana na umiliki wa mashamba. Kiongozi wa mashtaka ya umma Keriako Tobiko ametangaza kuwa idara yake, tume ya maridhiano na utangamano wa kitaifa (NCIC) na kitengo cha upelelezi wa jinai zinapekua semi za Odinga, kubaini iwapo alivuka mpaka na kuchochea uhasama wa kijamii. Hata hivyo Odinga amejitetea vikali, akidai matamshi yake hayakueleweka vilivyo.

Tags:

raila odinga Kajiado Keriako Tobiko DCI DPP land injustices Uchochezi

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories