Uchunguzi wabaini vijana wanaoishi na HIV wanaacha dawa
Published on: May 21, 2017 08:44 (EAT)
Vita dhidi ya maradhi ya ukimwi nchini vinaendelea kupata changamoto hasa kwa kuwa vijana wanaoishi na virusi wakati mwingine hawanywi dawa zao kama inavyopaswa.
Anne mawathe anakuarifu kuhusu changamoto zao na sababu zinazowafanya wasitumie dawa zao ilhali ndio wanaoambukizwa zaidi.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment