Ufisadi katika IEBC
Published on: October 15, 2018 08:27 (EAT)
Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi nchini Wafula Chebukati sasa anasema amemuandikia barua Mkurugenzi wa mashtaka ya umma Noordin Haji na tume ya maadili na kupambana na ufisadi nchini EACC kuchunguza ufujaji wa pesa katika tume hiyo.
Chebukati amesema haya siku chache baada ya kumtimua ofisini aliyekuwa afisa mkuu mtendaji wa tume hiyo ya IEBC Ezra Chiloba.
Chebukati alikuwa akizungumza katika eneo la Wote kaunti ya Makueni alikozindua zoezi la usajili wa wapiga kura.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment