Ugonjwa wa Kimeta
Published on: May 11, 2017 09:40 (EAT)
Watu saba wamelazwa katika hospitali ya thika level 5 kwa kile kinachodaiwa kuwa kimeta. Saba hao wakiwa ni wafnyikazi katika kichinjio cha kaunti ya kiambu wanasemekana kuathirika na nyama mbaya. Saida swaleh na maelezo zaidi.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment