Uhuru aandaa kikao na rais wa Misri, Abdel Fattah El-Sisi
Published on: February 18, 2017 08:55 (EAT)
Mataifa ya Kenya na Misri hii leo yamekubaliana kuimarisha uhusiano baina yao katika nyanja mbalimbali hususan maswala ya uchumi na biashara.
Wakiwahotubia wanahabari katika Ikulu ya Nairobi Rais Uhuru Kenyatta na mwenzake wa Misri Abdel Fattah El-Sisi wameahidi kukamilisha makubaliano yatakayorahisisha uhusiano wa kibiashara na uwekezaji kwa kutoa vikwazo.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment