Uhuru aandaa kikao na rais wa Misri, Abdel Fattah El-Sisi
Published on: February 18, 2017 08:55 (EAT)
Mataifa ya Kenya na Misri hii leo yamekubaliana kuimarisha uhusiano baina yao katika nyanja mbalimbali hususan maswala ya uchumi na biashara.
Wakiwahotubia wanahabari katika Ikulu ya Nairobi Rais Uhuru Kenyatta na mwenzake wa Misri Abdel Fattah El-Sisi wameahidi kukamilisha makubaliano yatakayorahisisha uhusiano wa kibiashara na uwekezaji kwa kutoa vikwazo.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment