Uhuru aapa kuifanyia idara ya mahakama mabadiliko
Published on: September 02, 2017 08:39 (EAT)
Viongozi wa chama cha Jubilee wakiongozwa na Rais Uhuru Kenyatta wameendelea kukashifu uamuzi wa mahakama ya juu iliyobatilisha uchaguzi wa urais. Na kama anavyoripoti Hassan Farah viongozi hao wameifokea idara ya mahakama na kusema kuwa watafanya mabadiliko makuu wakichaguliwa tena.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment