Uhuru adai Odinga anaogopa debe

Rais Uhuru Kenyatta amemtaka mgombea urais wa muungano wa NASA Raila Odinga kuacha kuiweka nchi katika hali ya wasiwasi kwa kutoa vitisho vya kila mara kwa tume ya uchaguzi. Kulingana na Uhuru, Raila anaogopa kurudi kwenye debe kwa sababu anajua kuwa atabwagwa na ndio sababu anapinga kila kinachopangwa na IEBC.

Tags:

Uhuru kenyatta IEBC raila odinga

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories