Uhuru ahakikisha mabalozi kuwa uchaguzi utafanyika vyema

Rais Uhuru Kenyatta amewahakikishia mabalozi kuwa maandalizi ya uchaguzi wa tarehe 17 Agosti yanaendelea vyema na kuwa yuko tayari kurudi kwenye debe na kumenyana na mpinzani wake Raila Odinga.

Tags:

Uhuru kenyatta raila odinga envoys

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories