Uhuru ahudhuria kongamano la mataifa makuu Italia
Published on: May 27, 2017 08:57 (EAT)
Mwaliko wa Rais Uhuru Kenyatta kuhudhuria mkutano wa mataifa 7 makuu duniani maarufu G7 nchini Italia umeipa Kenya fursa ya kuushawishi ulimwengu kuhusu haja ya kuungana pamoja katika vita dhidi ya ugaidi, ambao ni tisho kote duniani.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment