Uhuru akosoa sababu za mahakama ya juu kufuta ushindi wake

Rais Uhuru Kenyatta ameutaja uamuzi wa mahakama ya juu wa kubatilisha uchaguzi wa urais wa Agosti nane kama mapinduzi ya serikali. Kauli hiyo ameitoa tena baada ya mahakama ya juu inayoongozwa na jaji mkuu David Maraga kusoma uamuzi kamili na kutoa sababu za kubatilisha uchaguzi wa urais. Kulingana na rais, mahakama ya juu haikuchunguza ushahidi uliotolewa na tume ya IEBC.

Tags:

Uhuru kenyatta william ruto david maraga Supreme Court judgement

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories