Uhuru akosoa sababu za mahakama ya juu kufuta ushindi wake
Published on: September 21, 2017 09:05 (EAT)
Rais Uhuru Kenyatta ameutaja uamuzi wa mahakama ya juu wa kubatilisha uchaguzi wa urais wa Agosti nane kama mapinduzi ya serikali. Kauli hiyo ameitoa tena baada ya mahakama ya juu inayoongozwa na jaji mkuu David Maraga kusoma uamuzi kamili na kutoa sababu za kubatilisha uchaguzi wa urais. Kulingana na rais, mahakama ya juu haikuchunguza ushahidi uliotolewa na tume ya IEBC.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment