Uhuru amjibu Raila kuhusu madai ya wizi wa kura

Rais Uhuru Kenyatta amemsuta mgombea urais wa nasa Raila Odinga kwa kutupia tope jina la walinda usalama wa nchi na kudai kuwa watatumiwa katika njama ya wizi wa kura katika uchaguzi ujao. Rais amesema kuwa Odinga amewakosea heshima wanajeshi na maafisa wa polisi kwa matamshi kama hayo na kusema kuwa kila pingamizi wanalotoa wana Nasa linaashiria kuwa hawataki uchaguzi ufanyike tarehe nane mwezi ujao.

Tags:

Uhuru kenyatta KDF raila odinga JUBILEE Busia

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories