Uhuru angali anaongoza katika kinyang’anyiro cha urais

Ikiwa uchaguzi mkuu ungefanyika hii leo Uhuru Kenyatta angemshinda mpizani wake wa muungano wa NASA Raila Odinga. Hii ni kulingana na Utafiti wa hivi punde uliofanywa na shirika la Infotrak.

Tags:

Uhuru kenyatta JUBILEE william ruto Infotrak

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories