Uhuru aongoza mkutano wa kupanga kampeni za Jubilee
Published on: September 02, 2017 08:37 (EAT)
Rais Uhuru Kenyatta amesema kuwa ataibuka mshindi uchaguzi ukiandaliwa tena. Kenyatta ambaye alizuru kaunti ya Nakuru akiandamana na naibu wake William Ruto wamewakashifi viongozi wa upinzani na kuwataja kama wasiokibali kushindwa.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment