Uhuru aongoza mkutano wa kupanga kampeni za Jubilee

Rais Uhuru Kenyatta amesema kuwa ataibuka mshindi uchaguzi ukiandaliwa tena. Kenyatta ambaye alizuru kaunti ya Nakuru akiandamana na naibu wake William Ruto wamewakashifi viongozi wa upinzani na kuwataja kama wasiokibali kushindwa.

Tags:

Uhuru kenyatta IEBC JUBILEE william ruto Nakuru.

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories