Uhuru na Ruto wazuru kaunti ya Kiambu

Rais Uhuru Kenyatta na naibu wake William Ruto leo wamekita kambi katika kaunti ya Kiambu, huku wakipuuzilia mbali madai ya muungano wa upinzani-NASA, kuhusu maandalizi ya uchaguzi mkuu wa mwezi Agosti. Kenyatta na Ruto wamedai vinara wa upinzani wanahofia kulambishwa sakafu mwezi Agosti, na kuhiari kuirushia cheche tume ya uchaguzi nchini-IEBC kama vijisababu. Na kama anavyotuarifu Francis Gachuri, viongozi hawa wa Jubilee wametetea utendakazi wao katika muhula wa kwanza uongozini.

Tags:

Uhuru kenyatta william ruto kiambu

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories