Uhuru, Raila wahudhuria ibada ya mwisho kabla ya uchaguzi

Rais Uhuru Kenyatta na mgombea urais wa muungano wa Nasa Raila Odinga wamewataka wakenya kudumisha amani siku ya uchaguzi ili kuwepo kwa uchaguzi wa demokrasia na haki. Wawili hao walihudhuria ibada tofauti hii leo huku ikiwa imesalia chini ya saa 24 kabla ya uchaguzi.

Tags:

Uhuru kenyatta raila odinga JUBILEE NASA ibada kanisa

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories