Uhuru, Raila wahudhuria ibada ya mwisho kabla ya uchaguzi
Published on: August 06, 2017 08:20 (EAT)
Rais Uhuru Kenyatta na mgombea urais wa muungano wa Nasa Raila Odinga wamewataka wakenya kudumisha amani siku ya uchaguzi ili kuwepo kwa uchaguzi wa demokrasia na haki. Wawili hao walihudhuria ibada tofauti hii leo huku ikiwa imesalia chini ya saa 24 kabla ya uchaguzi.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment