Uhuru, Ruto wapiga kampeini Meru kwa siku ya pili
Published on: June 24, 2017 09:25 (EAT)
Siasa za biashara ya miraa zimeshika kasi leo, huku rais Uhuru Kenyatta na naibu wake William Ruto wakipiga mbizi katika eneo la Meru lenye ukwasi wa kura kwa siku ya pili mfululizo.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment