UhuRuto kufanyia mabadiliko serikali yao

Rais Uhuru Kenyatta na naibu rais William Ruto sasa wamezamia mikakati ya kuunda baraza la mawaziri ambalo litamwezesha kutekeleza ruwaza yake na kadhalika kumfanikisha naibu rais kuweka mikakati ya kutafuta urais mwaka 2022. Wengi wa wale waliomuunga mkono Rais Kenyatta kuchaguliwa kwa muhula wa pili wakisubiri kwa hamu kujua hatma yao, mabadiliko katika baraza la mawaziri ni shughuli ambayo itawaacha baadhi ya mawaziri bila kazi huku wengine wakipata nafasi ya kuhudumu tena kutokana na utendakazi wao.

Tags:

Uhuru kenyatta Raphael Tuju Davies Chirchir

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories