Uhuruto na Majaji Maraga na Mwilu wakutana
Published on: October 20, 2017 08:38 (EAT)
Nyakati tulizomo humu nchini kisiasa, haziwezi kumruhusu yeyote kupitwa na baadhi ya matukio yaliyojiri katika bustani ya Uhuru hii leo. Kwa mfano, tangu uamuzi wa mahakama ya juu wa kutupilia mbali uchaguzi wa Agosti 8, Rais Uhuru Kenyatta na naibu wake William Ruto walishiriki jukwaa moja na Jaji Mkuu David Maraga kwa mara ya kwanza mbele ya hadhara.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment