Uhuruto: NASA iache kuhangaisha wakenya
Published on: October 10, 2017 08:39 (EAT)
Rais Uhuru Kenyatta na naibu wake William Ruto wameendeleza kampeini zao katika eneo la pwani huku wakiwataka wakazi wa eneo hilo kuwapigia kura tena kwenye uchaguzi wa Septemba ishirini na sita. Wawili hao wamesisitiza kwamba wako tayari kwa marudio ya uchaguzi huo.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment