Uhuruto: NASA iache kuhangaisha wakenya

Rais Uhuru Kenyatta na naibu wake William Ruto wameendeleza kampeini zao katika eneo la pwani huku wakiwataka wakazi wa eneo hilo kuwapigia kura tena kwenye uchaguzi wa Septemba ishirini na sita. Wawili hao wamesisitiza kwamba wako tayari kwa marudio ya uchaguzi huo.

Tags:

Uhuru kenyatta JUBILEE william ruto TAITA TAVETA Graton Samboja

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories