Uhuruto wakariri mshikamano wao serikalini
Published on: January 09, 2018 08:10 (EAT)
Rais Uhuru Kenyatta na naibu rais wameonekana pamoja hadharani kwa mara ya kwanza tangu rais kutangaza majina ya watu tisa ambao anawapendekeza kuwa mawaziri. Rais na naibu rais walihudhuria mazishi ya maaskofu watatu waliofariki kufuatia ajali ya barabarani. Naibu rais aliwataka viongozi na wananchi kuacha kumshinikiza rais na badala yake kumwachia jukumu la kuwachagua mawaziri wake.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment