Uhuruto wapeleka kampeni Subukia, Nakuru

Rais Uhuru Kenyatta ameahidi kufanya kila awezalo kuhakikisha kwamba taifa hili linasalia imara hata linapojiandaa kwa raundi ya pili ya uchaguzi wa urais tarehe 26 mwezi huu. Rais ameyasema hayo katika kongamano la maaskofu wa kanisa la katoliki huko Subukia ambapo baadaye alifanya kampeni katika mkutano mkubwa wa hadhara katika eneo hilo.

Tags:

Uhuru kenyatta JUBILEE william ruto Nakuru. Subukia

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories