Uhuruto wapeleka kampeni Subukia, Nakuru

Rais Uhuru Kenyatta ameahidi kufanya kila awezalo kuhakikisha kwamba taifa hili linasalia imara hata linapojiandaa kwa raundi ya pili ya uchaguzi wa urais tarehe 26 mwezi huu. Rais ameyasema hayo katika kongamano la maaskofu wa kanisa la katoliki huko Subukia ambapo baadaye alifanya kampeni katika mkutano mkubwa wa hadhara katika eneo hilo.

Tags:

Uhuru kenyatta JUBILEE william ruto Nakuru. Subukia

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories