Ujenzi wa daraja la Sigiri waanza upya
Published on: July 12, 2017 09:13 (EAT)
Serikali imeweka wazi kuwa itafanya ujenzi mpya wa daraja la Sigiri katika kaunti ya Busia lililobomoka mwezi uliopita.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment