Ujio wa magavana wapya wafungua milango ya ajira mashinani

Magavana wanakabiliwa na tisho la kupoteza pesa nyingi za umma baada ya kuwafuta kazi maafisa wakuu wa kaunti zao bila kufuata taratibu zinazowalinda. Mwenyekiti wa tume ya wafanyikazi wa umma amewaonya magavana kupunguza kasi ya kuwafuta kazi maafisa hao na badala yake kufuata sheria zilizoko ili kujiepusha na kesi mahakamani. Haya yanajiri wakati ambapo serikali za kaunti zimetangaza nafasi za kazi za mawaziri na maafisa wakuu wa kaunti.

Tags:

ANNE WAIGURU Joyce Laboso CHARITY NGILU magavana mashinani

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories