Ukame waathiri wakazi na mifugo Pokot
Published on: October 13, 2017 08:26 (EAT)
Huku maeneo mengi humu nchini yakishuhudia mvua kubwa, hali ni tofouti katika eneo la Pokot Kaskazini kaunti ya Pokot Magharibi. Idadi kubwa ya wakazi wamelazimika kuhama kutoka makwao kwa sababu ya kiangazi.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment