Ukame waathiri wakazi na mifugo Pokot

Huku maeneo mengi humu nchini yakishuhudia mvua kubwa, hali ni tofouti katika eneo la Pokot Kaskazini kaunti ya Pokot Magharibi. Idadi kubwa ya wakazi wamelazimika kuhama kutoka makwao kwa sababu ya kiangazi.

Tags:

Drought West Pokot John Lonyangapuo

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories