Ukame wakithiri Kajiado
Published on: December 01, 2017 08:57 (EAT)
Licha ya mvua kuendelea kunyesha katika maeneo mengi humu nchini, Kajiado ya kati ukame ungali unawaathiri wakazi hasa wafugaji. Mifugo wanakufa ovyoovyo kwa kukosa lishe na maji huku idara ya kukabiliana na majanga nchini ikionya kuwa huenda hata binadamu wakaangamia iwapo hali hiyo itandelea.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment