Ukame wasababisha uhaba wa maji Pokot Magharibi
Published on: November 11, 2017 08:29 (EAT)
Uhaba wa maji kwa matumizi ya nyumbani na kwa mifugo wao unazidi kuwahangaisha wenyeji wa kaunti ya Pokot Magharibi. Hali hii inatokana na jinamizi la ukame katika maeneo mengi ya kaunti hiyo. Kama anavyoarifu mwanahabari wetu Collins Shitiabayi hatua hii imewafanya wakazi kuambulia kukamua changarawe.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment