Ukumbusho Wa Mama Betha
Published on: November 02, 2014 07:12 (EAT)
Familia, jamii na marafiki wa mwenyekiti wa kampuni ya Royal Media Services daktari S.K Macharia hapo jana walikusanyika nyumbani mwao eneo la Kirinyaga katika hafla ya kumkumbuka mamake naibu mwenyekiti wa kampuni ya Royal Media Services Gathoni Macharia aliyefariki miaka 56 zilizopita.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment