Unga wa bei nafuu waadimika madukani

Siku nne baada ya kushushwa kwa bei ya unga wa mahindi kote nchini bado wananchi katika sehemu mbalimbali za mashinani hawajapata unga huo, bado hawajauona sembuse kuununua.

Tags:

JUBILEE UNGA

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories